Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Download Instagram kirahisi kwenye simu yako ya Android Hapa..

Instagram    bonyeza hiyo link hapo chini ku-download instagram katika simu yako. http://instagram.en.uptodown.com/android ...

Nchi Kumi Zinazoongoza Kwa Kuwa na Wasichana Warembo Barani Afrika

Afrika ni miongoni mwa Bara lililobarikiwa tamaduni, lugha na watu tofauti wenye tabia zinazoshabihiana ikiwamo ukarimu. Miongoni mwa watu wa Bara hili wapo wasichana warembo wa kuvutia tofauti na wengine, katika hili kuna mjadala mpana huku baadhi wakikubali kuwa kuna watu wanaovutia kuliko wengine huku baadhi yao wakidai kuwa uzuri, urembo wa mtu unatafsiriwa kulingana na anayemtizama. Lakini katika hili tukubali tukatae miongoni mwa wanawake wa Afrika bila kujali wanatizamwa na nani ni wazuri na warembo na wanavutia kuliko wengine. Ifuatayo ni orodha ya nchi 10 zenye wanawake wenye mvuto barani Afrika, mwaka jana Tanzania ilishika...

Wasira Atumia Saa 2 Kupinga Ushindi wa Mbunge wa Bunda Mjini Ester Bulaya Mahakama Kuu Mwanza

Shahidi wa tatu katika kesi namba moja ya mwaka 2015 ya kupinga matokeo ya ubunge wa jimbo la Bunda Mjini, Stephen Wasira leo amepanda katika kizimba cha mahakama kuu kanda ya Mwanza, inayoketi mjini Musoma kutoa utetezi wake, huku ulinzi mkali wa askari polisi wenye silaha za moto, mabomu ya machozi na mbwa ukiwa umeimarishwa. Wasira ambaye alitumia muda wa saa 2 na dakika 26 kutoa ushahidi wake huku akihojiwa na wakili wa mlalamikiwa wa kwanza Ester Bulaya, ameiambia mahakama kuu chini ya jaji Noel Chocha kwamba uchaguzi katika jimbo la Bunda mjini ulikuwa haramu kutokana na kugubikwa na ukiukwaji wa sheria, taratibu na kanuni kulikofanywa...

Jinsi Ya Kumfanya Mwanamke Apagawe Kwako

Kuna vitu vingi ambavyo unaweza kutumia kwa manufaa yako ili kufanya wanawake wakuone unavutia. Amini usiamini, hivi vitu si lazima uwe tajiri wala uwe na urembo wowote. Mwanzo kati ya vitu hivyo vingi ni rahisi kuvitumia kwa urahisi. Hii hapa ni orodha ya mambo ambayo ukiyazingatia yatakufanya wewe uwe na mnato kwa mwanamke yeyote yule. 1. Uwezo wako wa nishati Nishati inaweza kuwa na mkusanyiko wa vitu kadhaa, kama vile kuhisi kwa vipepeo ndani ya tumbo, kusuka, wasiwasi ama vitu tofauti kabisa. Kwa mtizamo wa moja kwa moja, nishati inahusiana na yote yale ambayo yanamfanya mwanamke kujiskia raha wakati anapokuona ama kutaka kuutumia...

Rais Magufuli Aokoa Bilioni 1.2/- Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)

JITIHADA za Rais John Magufuli katika kubana matumizi yasiyo ya lazima serikalini, ambazo alizihamishia katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), ikiwamo kuzuia safari zisizo za lazima katika jumuiya hiyo, zimewezesha kuokoa zaidi ya Sh bilioni 1.2. Rais Magufuli ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na aliahidi kuchukua hatua za kubana matumizi yasiyo ya lazima na ikibidi kutumbua watendaji wa EAC, baada ya kuchaguliwa kushika wadhifa huo Machi mwaka huu jijini Arusha. Katibu Mkuu wa EAC, Balozi Liberat Mfumukeko alisema jana jijini hapa kuwa jitihada za kubana matumizi yasiyo ya lazima, zimeokoa Dola za Marekani 588,768 (zaidi...

Alikiba aeleza kwanini aliimba nyimbo chache Mombasa

October 10, 2016 Mtu wangu wa nguvu nakusogezea hii Video ya alichokisema msanii Alikiba kuhusu kuperform kwa muda mfupi kwenye tamasha la Mombasa Rocks lililofanyika weekend iliyopita nchini Kenya. Kufahamu alichokisema Alikiba wakati akizungumza na Mtangazaji wa Radio Citizen ya Kenya, William Tuva “Mzazi” Tazama video hii. ULIPITWA NA SHOW YA ALIKIBA KWENYE CONCERT YA MOMBASA? NIMEKUWEKEA HAPA ...

Maofisa Uwanja wa Ndege Julius Nyerere Waliojichanganya Wakati Rais Alipofanya Ziara waondolewa

Baadhi ya maofisa wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) waliokuwa kwenye mashine za ukaguzi Rais John Magufuli alipofanya ziara ya ghafla uwanjani hapo wameondolewa kwenye kitengo hicho. Majina ya maofisa hao yamepelekwa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano ili wachukuliwe hatua.  Waziri wa wizara hiyo, Profesa Makame Mbarawa ameambiwa  na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (Taa), George Sambuli kuwa maofisa hao wameondolewa uwanjani hapo.  Sambuli amesema: “Wale watumishi waliokuwapo pale tulichukua hatua za awali za kuwahamisha,pia tuliandika taarifa na kuipeleka wizarani tunasubiri...

Rais Magufuli kafanya uteuzi mwingine leo May 23 2016

May 23 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa viongozi wawili wa serikali, taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi leo imeeleza kuwa Rais wa Magufuli amemteua Gerson J. Mdemu kuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali.  Kabla ya Uteuzi huo,  Gerson J. Mdemu alikuwa Karani wa Baraza la Mawaziri (Cabinet Clerk), Mdemu anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Tulia Ackson ambaye amechuguliwa kuwa Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wakati huo huo, Rais Magufuli amemteua Profesa Longinus...

Maamuzi ya mwisho ya Man United kuhusu ajira ya Louis van Gaal yametangazwa leo May 23 2016

Baada ya headlines za muda mrefu kuhusu ajira ya kocha wa Man United Louis van Gaal kuripotiwa kuwa mashakani, huku uongozi wa Man United ukiwa umekaa kimya pasipo kukanusha au kukubali habari hizo, leo May 23 2016 taarifa rasmi zimetoka. Taarifa rasmi iliyoripotiwa na dailymail.co.uk na BBC Sports inaeleza maamuzi ya klabu hiyo yamefikiwa mchana wa leo na kuamua kumfuta kazi Louis van Gaal, kocha huyo wa kiholanzi anapoteza kazi ikiwa ni siku mbili zimepita toka ashinde Kombe la FA na klabu hiyo. Van Gaal amefukuzwa lakini ameripotiwa Jose Mourinho kujiandaa kuchukua nafasi yake muda...

Nape Nnauye Ashindwa Kuhutubia Kwenye Tamasha la Muziki Jijini Mwanza Kutokana na Zomeazomea Ya Wananchi Wanaotaka Bunge Lionyeshwe Live

Mzimu wa kuzuia shughuli za Bunge kuonyeshwa moja kwa moja na vituo vya televisheni uliopachikwa jina la ‘Bunge Live’, umeendelea kumwandama Waziri wa Habari, Nape Nnauye baada ya juzi kupokewa kwa kelele kiasi cha kushindwa kuhutubia wapenzi wa muziki jijini Mwanza. Nape alitangaza uamuzi wa kusitisha kurusha moja kwa moja baadhi ya shughuli za Bunge, akisema Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) linashindwa kumudu gharama, lakini wabunge, hasa kutoka vyama vya upinzani wamepinga hatua hiyo wakisema inawanyima wananchi haki yao ya kikatiba ya kupata habari kuhusu chombo chao cha kutunga sheria. Lakini Serikali imeshikilia msimamo wake,...
Pages (38)1234 »
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Ukurasa Wetu Wa Facebook Hapa Chini

 
Support : Gallos official blog | Gallos official blog | Gallos official blog
Copyright © 2011. Gallos official blog - All Rights Reserved
Modified by Yuvinusm
Powered by Blogger
Tricks and Tips