Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » » Uhaba wa maeneo ya makaburi Kenya.. Wameamua utaratibu mwingine wa mazishi

Uhaba wa maeneo ya makaburi Kenya.. Wameamua utaratibu mwingine wa mazishi

grv 
Watu wanaoishi Njoro Kaunti ya Nakuru, Kenya wameiomba Serikali ya nchi hiyo kuwasaidia eneo la kufanyia mazishi kutokana na uhaba wa ardhi.
Ishu ni kwamba kutokana na maeneo ya makaburi kutotosha watu wamejikuta wakilazimika kuchimba makaburi yenye vina vifupi juu ya makaburi mengine ili waweze kufanya mazishi.
Serikali itupatie mahali ambapo tunaweza kuzika watu wetu kwa amani.. sio ukizika ukienda kulima unapata umefufua mtu mwingine… mnarudi mnamuweka pembeni hata yeye hilo kaburi lilinunuliwa ilipaswa na yeye aweze kuzikwa”– alisema mmoja wa wakazi wa eneo hilo.
Ukosefu wa ardhi ya kuzikia ni taatizo kubwa linalokumba maeneo mengi nchini humo.
Nimekuwea sauti ya taarifa hiyo iliyoripotiwa na kituo cha K24…

WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI
Weka e-mail yako hapa kupata habari moja kwa moja Karibu sana Usikose kupata habari kwa kutembelea blog yetu Gallos official blog

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Ukurasa Wetu Wa Facebook Hapa Chini

 
Support : Gallos official blog | Gallos official blog | Gallos official blog
Copyright © 2011. Gallos official blog - All Rights Reserved
Modified by Yuvinusm
Powered by Blogger
Tricks and Tips