Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » , » Ripoti ya ajali za barabarani kuanzia January 2015.. April imetajwa kuongoza

Ripoti ya ajali za barabarani kuanzia January 2015.. April imetajwa kuongoza

Ajali IYOVIIshu ya ajali za barabarani imechukua nafasi kubwa sana kwenye stori za kwenye vyombo vya habari TZ.. kwanza ni suala la ajali hizo kuongozana sana.. kingine ni ishu ya idadi kuwa ya vifo ambavyo vimetokana na ajali hizo.
Leo Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Kamanda Mohammed MPINGA yuko kwenye headlines; “Watu waliofariki kutokana na ajali hizi toka hiyo tarehe 11 mwezii wa tatu hadi hilo tukio la tarehe 14 takribani mwezi mmoja tu wamefariki watu 103 na kujeruhi watu 38.. katika hao watu 103 wengi ni abiria.. sababu kubwa ya ajali hizi ni makosa ya kibinadamu ambayo kwa kiasi kikubwa ni uzembe wa dereva.
Mweni January zimetokea ajali 823, February 641, March ni 32.. ukiangalia idadi ya watu waliokufa kwa mwezi March ni kubwa ukilinganisha na idadi ya ajali zilizotokea.“– Kamanda Mpinga.

WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI
Weka e-mail yako hapa kupata habari moja kwa moja Karibu sana Usikose kupata habari kwa kutembelea blog yetu Gallos official blog

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Ukurasa Wetu Wa Facebook Hapa Chini

 
Support : Gallos official blog | Gallos official blog | Gallos official blog
Copyright © 2011. Gallos official blog - All Rights Reserved
Modified by Yuvinusm
Powered by Blogger
Tricks and Tips