Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » » Tuzo nyingine ya heshima aliyopewa staa wa soka Didier Drogba…

Tuzo nyingine ya heshima aliyopewa staa wa soka Didier Drogba…

drooo 
Mbali na uwezo wake mkubwa wa kumiliki mpira uwanjani, Didier Drogba raia wa Ivory Coast amekuwa na mchango mkubwa katika shughuli za kijamii ambazo ambazo amekuwa akishiriki ndani ya nchi yake na Afrika pia.
Uongozi wa ligi kuu ya England FA umeridhishwa na kazi yake.. wameamua kumpa tuzo kutokana na mchango wake mkubwa wa kuhamasisha soka la vijana Afrika na uamuzi wake wa kufungua Didier Drogba Foundation ambayo itakuwa ikifanya kazi ya kuwasaidia watu wenye mahitaji mbalimbali.
tuzo
Staa huyo wa soka wa Chelsea amepewa heshima hiyo kama sehemu ya kumpongeza kwa kazi nzuri za kijamii anazofanya.
Tayari Drogba amejenga hospitali kubwa ya kisasa nchini kwao Ivory Coast.
WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI
Weka e-mail yako hapa kupata habari moja kwa moja Karibu sana Usikose kupata habari kwa kutembelea blog yetu Gallos official blog

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Ukurasa Wetu Wa Facebook Hapa Chini

 
Support : Gallos official blog | Gallos official blog | Gallos official blog
Copyright © 2011. Gallos official blog - All Rights Reserved
Modified by Yuvinusm
Powered by Blogger
Tricks and Tips