Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » » Yanga ndiyo mabingwa TZ Bara.. leo ni headlines za mchezaji wao, Mrisho Ngassa

Yanga ndiyo mabingwa TZ Bara.. leo ni headlines za mchezaji wao, Mrisho Ngassa

yanga-standd
Jopo maalum la makocha ambao huchagua wachezaji bora kwa kila mchezo kwenye ligi kuu ya soka Tanzania bara wametoa matokeo ya wachezaji waliochaguliwa kuwa bora kwenye ligi hiyo kwa mwezi April.
Mshambuliaji wa Yanga na timu ya Taifa, Mrisho Ngassa amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom ya mwezi April.
Ngassa ametajwa kuwa mshindi katika nafasi hiyo, wenzake ambao walikuwa wakishiriki ni pamoja na mchezaji Amos EdwardFrank Domayo na Emmanuel Okwi baada ya kupata alama nyingi za mchezaji bora kwa kila mchezo.
Mbali na Ngassa pia James Ambrose ametajwa kuwa mchezaji bora wa Ligi hiyo kwa mwezi March 2015.
Zawadi ambayo watapatiwa mastaa hao kila mmoja ni pesa kiasi cha Tshs. Mil. 1 kutoka kwa wadhamini wa ligi hiyo kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom.
WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI
Weka e-mail yako hapa kupata habari moja kwa moja Karibu sana Usikose kupata habari kwa kutembelea blog yetu Gallos official blog

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Ukurasa Wetu Wa Facebook Hapa Chini

 
Support : Gallos official blog | Gallos official blog | Gallos official blog
Copyright © 2011. Gallos official blog - All Rights Reserved
Modified by Yuvinusm
Powered by Blogger
Tricks and Tips