Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » » CHADEMA Yapanga Kupenyeza Mamluki ACT - Wazalendo!

CHADEMA Yapanga Kupenyeza Mamluki ACT - Wazalendo!

Baada ya Zitto kutoa kauli kwa vyombo vya habari kuwa, kuna zaidi ya wabunge 50 kutoka vyama vya CCM na CHADEMA watakao hamia ACT, CHADEMA kupitia kitengo chake cha intelijensia kimetangaza upelelezi rasmi ili kuweza kuwavumbua wabunge hao wasaliti wa chama na mamluki wengine!
Aidha, maofisa hao katika kitengo hicho cha intelijensia cha CHADEMA wameeleza wazi kuwa wanaifanya kazi hiyo kwa usahihi na umakini mkubwa ili kuhakikisha taarifa watakazokusanya ni za kweli huku wakielezea mkakati wao wa kupenyeza watu wao ndani ya ACT kwa ajili ya taarifa zaidi!
My take,
Kwa hali hii, nadhani CHADEMA imeanza kusahau jukumu lake la msingi la kufanya siasa na kujenga chama, badala yake nguvu nyingi zaidi imeelekezwa kwenye kusaka hao wanaoitwa 'wasaliti'!
Mbona CCM ina watu wanatofautiana kimtazamo lakini maisha ya siasa yanaenda kama kawaida na hatusikii majina majina kama wasaliti?
WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI
Weka e-mail yako hapa kupata habari moja kwa moja Karibu sana Usikose kupata habari kwa kutembelea blog yetu Gallos official blog

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Ukurasa Wetu Wa Facebook Hapa Chini

 
Support : Gallos official blog | Gallos official blog | Gallos official blog
Copyright © 2011. Gallos official blog - All Rights Reserved
Modified by Yuvinusm
Powered by Blogger
Tricks and Tips