Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Showing posts with label Moses Iyobo. Show all posts
Showing posts with label Moses Iyobo. Show all posts

Aunt Ezekiel Aeleza Maumivu Aliyopata Wakati wa Kujifungua Cookie

Msanii wa filamu Aunt Ezekiel amefunguka na kueleza jinsi alivyopitia maumivu makali wakati wa kujifungua mtoto wake wa pekee ‘Cookie’ ambaye ametimiza moja mmoja hivi karibuni.

Kupitia ukurasa wake wa instagram, Aunt Ezekiel aliandika:

Haikuwa siku ya furaha katika maisha yangu ilikuwa ni siku ngumu kushinda siku zote nilizowahi kupitia katika maisha yangu hata misiba iliyowahi kutokea still haikufananishwa na maumivu niliyoyapata hii Siku Ni kivipi na kwann C tuu kwasababu ya kuumwa uchungu Hapana bali ni hata kwa mparaganyiko wa Moyo niliokuwa nikiupata ndani ya Moyo wang kwa Hasira Maumivu na hasa Woga uliokuwa ukiniingia kila nikumbukapo Maneno ya Watu ambao wana Roho kama za Wanyama Mara hili mara lile Nitaandika kitu Mana ni siku yangu na nina kila sababu ya kufanya hvyo c tuu kwenye Mtandao ila hata kwa macho hapa nilipo na kwenye Mtandao Napenda kutoa Ushuhuda kuwa WHN JESUS SAY YES NO BODY CAN SAY NO… hata unene kwa rugha Yy ndio Muamuzi wa Mwisho Nakupenda Yesu wang wa Leo na hata baadae ww ndio kimbilio langu la Mwanzo Mwisho I love u Jesus . ntaendelea.
3

Aunty Ezekiel Amkingia Kifua Iyobo Kuhusu Kumzidi Umri

KUFUATIA kuwepo kwa madai na minong’ono mingi ya msanii wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel kumzidi umri mzazi mwenzake, Moses Iyobo, muigizaji huyo ‘amewaka’ na kuwataka watu wasiingilie uhusiano wao na kwamba suala la umri kwao ni namba tu.

‘Akibananishwa ukutani’ na mwandishi wetu kwa maswali magumu hivi karibuni, Aunt alisema amekuwa akiumizwa na maneno yanayoendelea juu ya kumzidi umri Iyobo, na kusema hayuko tayari kuona uhusiano huo ukivunjwa kwa maneno ya aliowaita “wakosa kazi”.

“Kwani wakati tunatongozana hatukujua kuwa tunazidiana umri? Mbona watu wanashindwa kufanya mambo ya msingi na kukalia majungu? Kwetu sisi suala la umri ni namba tu, labda nikuulize, ulishaona mtoto anambebesha mwanamke mimba? Maneno ya mimi kumzidi umri Iyobo yananiumiza sana kwa kweli, lakini nitaulinda uhusiano huu hadi mwisho,” alisema Aunt Ezekiel

Chanzo: GPL 3

Kanisa Lagoma Kumbatiza Mtoto wa Aunt Ezekiel

Kanisa Katoliki limemzuia staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel kumbatiza mwanaye kutokana na kutokidhi matakwa ya kanisa.

Tukio hilo limetokea hivi karibuni mara baada ya mwigizaji huyo ambaye imani yake ni ya Kiislamu, kutaka kumbatiza mwanaye huyo ambaye baba yake ( Moze Iyobo) ni Mkatoliki.

“Alikuwa amejipanga kumbatiza Kikristo kutokana na imani ya baba mtoto wake lakini alipokutana na padri Paul Ruwaaich wa Parokia ya Uparo Moshi aliyekuwa Dar kikazi akamtaka akaanzie kusali kwenye Jumuiya Ndogondogo (mtaani kwake), abadilishe dini ndipo mtoto huyo abatizwe kwani ndizo taratibu za Kanisa Katoliki.

“Alipopewa sharti hilo, lilikuwa gumu kwa Aunt, ikabisi ageuze zake,” kilisema chanzo chetu.

Mwanahabari wetu alipomuuliza Aunt kuhusu suala hilo, alisema amebaki njia panda na anatafakari cha kufanya. 3

Aunty Ezekiel Responds To Her Haters Who Say Moze Iyobo Isn't The Daddy of Her Daughter Cookie

Few days ago some of Aunty Ezekiel's friends  went to media to say that Aunty's daughter Cookie doesn't look like Moze Iyobo who is Aunty's boyfriend. Her friends whose names were withheld think the father of her daughter is someone else and not Moze Iyobo claiming the baby is white while both Moze and Aunty are black.
But through instagram Aunty posted the photo above sharing hot kiss with Moze and insisted Moze is the daddy of her child...
3

Wolper Ampongeza Aunty kwa Kuwaacha Matajiri na Kufuata Kiuno cha Moses Iyobo

Staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper amefunguka na kumpogeza staa mwenzake Aunt Ezekiel ambaye amezaa na mcheza dansi, Moses Iyobo kwa kuamua kuwaacha matariji na kuamua kuzaa na mcheza dansi huyo.

Penzi la Aunt Ezekiel na Moses Iyobo limekuwa likitazamwa kwamitazamo tofauti tofauti hasa miongoni mwa mashabiki huko mitandaoni, Wolper amevunja ukimya na kuanddika haya kwenye ukurasa wake mtandaoni mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu.

Kiukweli na hamu yakulishwa keki kama kwenye hii picha hapo huduma hzii zinapatikana wapi?? au paka upendwe kama huyu dada lol.. kikubwa ni mapenzi ya kweli sasa mkiwa mnapiga porojo ooh viuni sijui kunengua hayo ni maneno tuu ata kwenye khanga yapo sasa ukiwa gwijii wamaneno kamaa kina sisi hapa ndo kwanza zile kelele zinakua kma instrument huku blues inaendelea kma hvii Maneno yote nimeongea kwa sababu ya kina  baba insta, mamainsta, paroko insta, masheeh insta  wachungaji insta, washauri inatsta na wazazi wainsta .

Wolper akaendelea;

Huyu dada now yupo happy na ana amani ya moyo nayo ni hii hapa ukiona mtu kaacha matajiri wote kafwata kiuno basi hcho ndo kinachomfaa .hongera sana mama coukie na baba coukie shem langu mose iyogo kwa kupata bint Mungu awasimamia kwakila jambo asikwambie mtu akuna asiyependa kuwa na chake vyauwizi navyo vinachosha mtu chake sokoni anakua ndo pochi outing anakuwa ndo kiatu kitandani ndo usiseme anakua shuka kabisa  hlw fans i love uu & Tanzani iz country, jumamosi njema.

Mzee wa Ubuyu 3

Huyu ndiye mtoto wa Aunty Ezekiel na Mose Iyobo anaitwa Cookie

Mwigizaji wa filamu za Bongo, Aunty Ezekiel alijifungua mtoto wa kike siku ya Alhamis May 21. Mtoto huyo wa Aunty Ezekiel ambaye baba yake ni dansa wa Diamond aitwaye Mose Iyobo, amepewa jina la Cookie. 3
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Ukurasa Wetu Wa Facebook Hapa Chini

 
Support : Gallos official blog | Gallos official blog | Gallos official blog
Copyright © 2011. Gallos official blog - All Rights Reserved
Modified by Yuvinusm
Powered by Blogger
Tricks and Tips