Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » » VIJIMAMBO: Simu ya Mwanaume Naiona Kama Bomu-Lulu

VIJIMAMBO: Simu ya Mwanaume Naiona Kama Bomu-Lulu


Siku hizi sio kitu cha ajabu kusikia au kuona wapenzi wamegombana na kufikia hadi kuachana kisa simu za mikononi. Wapo wanaoishi kwenye dhana ya simu ya mkonomni ya mpenzi wako ni simu yako na wapo wanaoishi kwenye dhana ya kila mtu na simu yake na mambo yake hakuna kuchunguza simu ya mwenzio.


Mrembo na mwingizaji, Elizabeth Michael “Lulu” ameweka wazi mtanzamo wake kuhusu simu ya mpenzi wake kwa kusema yeye hawezi kuipekuwa kwani anaiona kama ni bomu.

Lulu aliandika hayo kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa INSTAGRAM mara baada yakuweka picha ya mtoto akilia ikiwa na maadishi ya lugha ya kingereza yakiwa na maana  kuwa hiyo ilikuwa ni baada ya kupekua simu ya mwanaume na kupata kile alichokuwa anakitafuta....

Lulu aliiandikia picha hiyo (tazama hapo juu);

“Hii inaitwa MWANA UKOME......Simu Ya Mwanaume naiona kama BOMU...!”

Wewe je simu ya mwenzi wako unaichukuliaje?WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI
Weka e-mail yako hapa kupata habari moja kwa moja Karibu sana Usikose kupata habari kwa kutembelea blog yetu Gallos official blog

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Ukurasa Wetu Wa Facebook Hapa Chini

 
Support : Gallos official blog | Gallos official blog | Gallos official blog
Copyright © 2011. Gallos official blog - All Rights Reserved
Modified by Yuvinusm
Powered by Blogger
Tricks and Tips