Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » » Maskini ile Ofisi ya Kanumba the Great Films Yafungwa Rasmi, Mama na Wadogo zake Kanumba Washindwa Kuiendesha

Maskini ile Ofisi ya Kanumba the Great Films Yafungwa Rasmi, Mama na Wadogo zake Kanumba Washindwa Kuiendesha

Kuna Msemo unasema Asiyekuwepo na lake halipo , Wengi tunamkumbuka Mwigizaji Marehemu Kanumba alivyobadili mchezo wa Bongo Movies Mpaka kuwa ni Tasnia yenye kukimbiliwa na Wengi ....Sasa Habari tulizozipata ni 
kuwa ile Ofisi yake aliyoiacha baada ya Kufariki Dunia Mama Kanumba na Wadogo zake Walio Ahidi kuiendeleza Wameshindwa na Wameamua Kuifunga baada ya Kukosa Kodi ya kulipia Jengo ...Mama Kanumba amekaririwa akisema kwa sasa Kodi ni laki sita hela ambayo wameshindwa kuilipa kwani Kanumba aliacha Kodi ilikuwa Laki Mbili.

Toka Kanumba Afariki Ofisi hiyo iliweza kutoa Filamu mbili tu na Ambazo Hazikufanya Vizuri sana Katika Soko..WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI
Weka e-mail yako hapa kupata habari moja kwa moja Karibu sana Usikose kupata habari kwa kutembelea blog yetu Gallos official blog

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Ukurasa Wetu Wa Facebook Hapa Chini

 
Support : Gallos official blog | Gallos official blog | Gallos official blog
Copyright © 2011. Gallos official blog - All Rights Reserved
Modified by Yuvinusm
Powered by Blogger
Tricks and Tips