Msanii Linah anasema wasanii wa bongo wakiweka picha kwenye mitandao ya
jamii wanapondwa,picha hiyo hiyo akiweka Rihanna anasifiwa kisha
akamalizia kwa kusema Tusupport wa nyumbani.
Wewe unalipi la kushauri hapa?
WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI
Weka e-mail yako hapa kupata habari moja kwa moja Karibu sana Usikose kupata habari kwa kutembelea blog yetu Gallos official blog
0 comments:
Post a Comment