Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » » Huyu jamaa kachukua record ya urefu wa Hasheem Thabeet Ligi ya NBA…

Huyu jamaa kachukua record ya urefu wa Hasheem Thabeet Ligi ya NBA…

Hasheem
Hasheem Thabeet, picha na #SlideVisual.
Hasheem Thabeet jina la kwanza la Mtanzania kuingia kwenye Headlines Duniani akitajwa kama Mbongo wa kwanza kuchezea Ligi ya Mpira wa Kikapu Marekani, NBA.
Sim Bhullar unaambiwa ni jina jingine kubwa TENA kuingia kwenye NBA.. Jamaa hatokei BONGO, ni raia wa Canada ambaye tayari kasaini contract ya siku 10 na timu ya Sacramento Kings.. wazazi wake wana asili ya India, baadae walihamia Canada ambapo Bhullar alizaliwa mwaka 1992, hivyo anakuwa mchezaji wa kwanza ambaye ana asili ya India kuchezea Ligi ya NBA.
sim1
Sim Bhullar.
Bhullar ana urefu wa futi 7.5, anakuwa mchezaji wa kwanza kwa urefu kwa sasa hivi, anampita Hasheem Thabeet ambaye ana futi 7.3.
manute-bol-e1339178761329
Manute Bol, aliyenyoosha mikono katikati. 

Hasheem na Bhullar ni warefu, lakini rekodi ya mchezaji mrefu zaidi aliyewahi kuchezea NBA ni Manute Bol, alikuwa raia wa Sudan alikuwa na urefu wa futi 7.7, alifariki kwa ugonjwa wa ini mwaka 2010.
WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI
Weka e-mail yako hapa kupata habari moja kwa moja Karibu sana Usikose kupata habari kwa kutembelea blog yetu Gallos official blog

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Ukurasa Wetu Wa Facebook Hapa Chini

 
Support : Gallos official blog | Gallos official blog | Gallos official blog
Copyright © 2011. Gallos official blog - All Rights Reserved
Modified by Yuvinusm
Powered by Blogger
Tricks and Tips