Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » » Oliver Giroud, Arsene Wenger kwenye tuzo hii ya ligi kuu England

Oliver Giroud, Arsene Wenger kwenye tuzo hii ya ligi kuu England

giroud 
Chelsea ndio vinara wa ligi kuu ya England kwa kuongoza huku ikiwa na pointi 67 mkononi lakini unaambiwa licha ya Arsenal kushikilia nafasi ya tatu imeweza kufanya vizuri na kuibuka na tuzo za kila mwezi kwa kufanya vizuri.
Mshambuliaji wa Arsenal Oliver Giroud amefanikiwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Machi katika ligi kuu ya England baada ya kazi yake nzuri akiwa na kikosi hicho.
Giroud raia wa Ufaransa amepata tuzo ikiwa ni ya 16 tangu kuanza kutolewa.
wenger 
Naye kocha wa Arsenal, Arsene Wenger amefanikiwa kutwaa tuzo ya kocha bora wa ligi kuu ya England kwa mwezi Machi ikiwa ni mara ya 14 kwake kutwaa tuzo hiyo.
WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI
Weka e-mail yako hapa kupata habari moja kwa moja Karibu sana Usikose kupata habari kwa kutembelea blog yetu Gallos official blog

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Ukurasa Wetu Wa Facebook Hapa Chini

 
Support : Gallos official blog | Gallos official blog | Gallos official blog
Copyright © 2011. Gallos official blog - All Rights Reserved
Modified by Yuvinusm
Powered by Blogger
Tricks and Tips