Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » » Chonde chonde, ulevi noma.. Jamaa kakutwa hata hajielewi yani !!

Chonde chonde, ulevi noma.. Jamaa kakutwa hata hajielewi yani !!

CDCOyijVAAAZHum 
Don’t drink and drive..’ sawa hilo somo jamaa alilielewa sana tuu, akaenda zake kupata kinywaji ishu ikawa jinsi gani atarudi home??
Ilikuwa ni kama bahati yake tu kukutwa na gari za doria za Polisi ambao walimkuta mida ya saa kumi usiku, hajielewi.. amelewa sana alafu kalala katikati ya barabara.. hakuwa na jeraha lolote la kuumizwa wala hakugongwa, kilichomfanya aanguke katikati ya barabara ni ulevi.
Jamaa aliwaambia Polisi  kwamba alitumia usiku wote kulewa, hata hapo alipo hajui kafikaje yani..!!
Ishu metokea New Zealand, ilibidi Polisi wambebe kumpeleka nyumbani kwake.. Polisi wamesema walevi wengi ni waathirika wa matukio ya kukabwa na kuibiwa usiku.
Drunkman ZEALAND
Umewahi kukutana na tukio gani mtu wangu na wewe ukasema ulevi noma? Nitafurahi kuona utakachoniandikia kwenye comment yako..
WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI
Weka e-mail yako hapa kupata habari moja kwa moja Karibu sana Usikose kupata habari kwa kutembelea blog yetu Gallos official blog

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Ukurasa Wetu Wa Facebook Hapa Chini

 
Support : Gallos official blog | Gallos official blog | Gallos official blog
Copyright © 2011. Gallos official blog - All Rights Reserved
Modified by Yuvinusm
Powered by Blogger
Tricks and Tips