Kwa mujibu wa rafiki kipenzi wa Mr. Nice tangu kipindi kile cha "kidali po" Wabogojo aliandika kupitia mtandao wa kujamii wa instagram kuwa mnamo tarehe 12 mwezi wa 4 mwaka huu Msanii Lucas Mkenda "Mr. Nice" alipata ajali ya gari na waliyokuwa naye wote walikufa ila amenusurika yeye peke yake.
Tazama alichokiandika hapa chini...
WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI
0 comments:
Post a Comment