Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » » Mama na mtoto wake walizaa na mwanaume mmoja.. Unajua wanachohofu kutokea baadae?

Mama na mtoto wake walizaa na mwanaume mmoja.. Unajua wanachohofu kutokea baadae?

mother460
Kitu cha kwanza mama huyu anasema haoni sababu kumchukia mtoto wake kwa kitu ambacho kimetokea zaidi ya miaka miwili iliyopita; “There is no need to hate my daughter for something that happened more than two years ago..“– Mildred Mashego.
Hii imetokea Mpumalanga, South Africa… Mildred na mtoto wake wa kike, Patricia Mashego walijifungua mwezi August 2012, lakini ikawa story kwenye Headlines baada ya kujua kwamba mwanaume aliyewapa ujauzito ni mmoja!!
Vincente Malumane ni mwanaume ambaye aliwapa ujauzito wanawake hao, alikubali kwamba ni kweli anahusika na ujauzito huo lakini hakujua kwamba Mildred na Patricia ni mtu na mtoto wake.
Mildred alichukizwa baada ua kuujua ukweli, japo anasema anamchukia Vicente ila hana kinyongo chochote na mtoto wake.. Wanawalea watoto wao pamoja, hofu waliyonayo kwa sasa ni jinsi ambavyo watawaelezea watoto wao watakapokua wakubwa.
WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI
Weka e-mail yako hapa kupata habari moja kwa moja Karibu sana Usikose kupata habari kwa kutembelea blog yetu Gallos official blog

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Ukurasa Wetu Wa Facebook Hapa Chini

 
Support : Gallos official blog | Gallos official blog | Gallos official blog
Copyright © 2011. Gallos official blog - All Rights Reserved
Modified by Yuvinusm
Powered by Blogger
Tricks and Tips