Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » » Mastaa wa Kike wa Kibongo Wanaishi Kwa Kuuza Miili yao kwa Mapedeshee ili Wapate Magari na Majumba ya Kuhongwa:Isabela

Mastaa wa Kike wa Kibongo Wanaishi Kwa Kuuza Miili yao kwa Mapedeshee ili Wapate Magari na Majumba ya Kuhongwa:Isabela



Mwendelezo wa Mastaa wa Kike Kufunguka na leo unaendelea , baada ya jana Mrembo Lungi kufunguka na kukiri kuwahi kubeba unga na kuwauza wasichana wenzake kwa wanaume leo ameibuka Isabela Mpanda ambae ni staa upande wa urembo na mziki na kusema Mastaa wengi wa kike Bongo wanategemea Kuuza Miili yao kwa Wanaume na kuhongwa majumba na magari wanayotembelea , Amesema si kweli kwamba sanaa inalipa kiasi hicho cha kuwa na majumba ya Mabilion na magari ya hela nyingi ...

Je kuna Ukweli Juu ya Helo ?WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI
Weka e-mail yako hapa kupata habari moja kwa moja Karibu sana Usikose kupata habari kwa kutembelea blog yetu Gallos official blog

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Ukurasa Wetu Wa Facebook Hapa Chini

 
Support : Gallos official blog | Gallos official blog | Gallos official blog
Copyright © 2011. Gallos official blog - All Rights Reserved
Modified by Yuvinusm
Powered by Blogger
Tricks and Tips