Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » » Ni kweli wadada wanaoonyesha makalio yao ndo wanaopenda kufanya mapenzi kinyume na maumbile?

Ni kweli wadada wanaoonyesha makalio yao ndo wanaopenda kufanya mapenzi kinyume na maumbile?

Kuna tetesi huku mitaani kuwa msichana akiwa anapenda kuvaa nguo za kuonesha makalio yake, na kupenda kuyatingisha ovyo, kuyakuza kwa kutumia dawa za Mchina etc, ina maana kwa asilimia kubwa anafanya mapenzi kinyume na maumbile, au anatamani kuja kufanya hivyo.

Kwa mfano niliangalia reality show ya Christina Milian (Christina Milian Turned Up) kwenye channel E! akiwa anajaribu kukuza makalio yake kwa kuvaa booty pants, ili yaonekane makubwa, Je kuna ukweli wowote juu ya hili?

Wadada wa humu na Wadau naomba mnijibu...WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI
Weka e-mail yako hapa kupata habari moja kwa moja Karibu sana Usikose kupata habari kwa kutembelea blog yetu Gallos official blog

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Ukurasa Wetu Wa Facebook Hapa Chini

 
Support : Gallos official blog | Gallos official blog | Gallos official blog
Copyright © 2011. Gallos official blog - All Rights Reserved
Modified by Yuvinusm
Powered by Blogger
Tricks and Tips