Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » » Marafiki wamuingiza chaka Chris Brown kwa kumwambia Karrueche yupo tayari kumrudia, kilichotokea hakukiamini

Marafiki wamuingiza chaka Chris Brown kwa kumwambia Karrueche yupo tayari kumrudia, kilichotokea hakukiamini

Chris Brown aliingizwa chaka na marafiki zake waliomwambia kuwa Karrueche Tran alikuwa na hamu kubwa ya kurudiana naye – hali ambayo ilisababisha seke seke kwenye club ya usiku waliyokutana na kumfanya Chris aonekane kama mtu anayelilia penzi la Karrueche, TMZ wameripoti.

Vyanzo vilivyo karibu na wapenzi hao wa zamani vimeiambia TMZ kuwa Chris alichukua meza kwenye club ya Playhouse, iliyokuwa karibu na meza ya Karrueche kwasababu marafiki zao walimwambia afanye hivyo.

Marafiki hao walikuwa wakimjaza Chris kuwa KT yupo tayari kuyamaliza.

Hata hivyo Chris alibaki na butwaa baada ya kumshuhudia Karrueche akiondoka kwenye club hiyo kwa hasira utadhani aliona jini.

Kuna kila dalili kuwa Chris na Karrueche hawatarudiana tena!

Angalia Video Hapa chini:

WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI
Weka e-mail yako hapa kupata habari moja kwa moja Karibu sana Usikose kupata habari kwa kutembelea blog yetu Gallos official blog

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Ukurasa Wetu Wa Facebook Hapa Chini

 
Support : Gallos official blog | Gallos official blog | Gallos official blog
Copyright © 2011. Gallos official blog - All Rights Reserved
Modified by Yuvinusm
Powered by Blogger
Tricks and Tips