Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » » Wajue Mastaa Wakubwa Duniani Walio Team Pacuiao vs Team Mayweather, na Maajabu Yake

Wajue Mastaa Wakubwa Duniani Walio Team Pacuiao vs Team Mayweather, na Maajabu Yake

Zikiwa zimebakia siku chache tu Pambano la karne kutokea, baadhi ya mastaa wameendelea kutupa karata zao.

Upande wa Manny Pacuaiao.

Kuna.
- Sylivester Stallone "Rambo"
- Mike Tyson
- Mohammed Ali
- Ronda Rousey (mwanadada huyu mwenye dani nne za judo, pia mcheza boxing)
- Mark Walhberg (kacheza movie za action, na pia ame bet na P didy kiasi cha Tsh 487 kwamba Pacuiano atashinda)

Upande wa Team Mayweather

Kuna.
- Justin Beiber
- Maria Carey
- P didy
- Rick Ross
- 50 Cent

Hapo nadhani mwenye akili amegundua kitu flani, na ameeona maajabu yaliyopo, haihitaji degree wala masters. WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI
Weka e-mail yako hapa kupata habari moja kwa moja Karibu sana Usikose kupata habari kwa kutembelea blog yetu Gallos official blog

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Ukurasa Wetu Wa Facebook Hapa Chini

 
Support : Gallos official blog | Gallos official blog | Gallos official blog
Copyright © 2011. Gallos official blog - All Rights Reserved
Modified by Yuvinusm
Powered by Blogger
Tricks and Tips