Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » » Nape Amtaka Zitto Kujenga Upinzani wa Kweli na Kuachana na Siasa Kama za Chadema

Nape Amtaka Zitto Kujenga Upinzani wa Kweli na Kuachana na Siasa Kama za Chadema

Salaam,nimesoma kwenye nipashe nape akimtaka kuanzisha upinzani wa ukweli sio kama wa chadema.kwa mujibu wa nape amesema chadema siasa zao zinaligawa taifa.mimi najiuliza ni upinzani gani anaoongelea nape kwa zitto? maana ili taifa lisigawanyike lazima wote tuwe ccm na ni upinzani gani anaomtaka zitto kuanzisha nakuifurahisha ccm?WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI
Weka e-mail yako hapa kupata habari moja kwa moja Karibu sana Usikose kupata habari kwa kutembelea blog yetu Gallos official blog

0 comments:

Post a Comment

Pages (38)1234 »
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Ukurasa Wetu Wa Facebook Hapa Chini

 
Support : Gallos official blog | Gallos official blog | Gallos official blog
Copyright © 2011. Gallos official blog - All Rights Reserved
Modified by Yuvinusm
Powered by Blogger
Tricks and Tips