Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » » Alex Ferguson kamtaja staa wake bora kwa soka, anamlinganisha na akina Ronaldo na Messi

Alex Ferguson kamtaja staa wake bora kwa soka, anamlinganisha na akina Ronaldo na Messi

Fergusson Thubs Up
Kumekuwepo na ushindani mkubwa kuanzia uwanjani mpaka mtaani, nani mkali kati ya Lionel Messi na Christiano Ronaldo.
Ronaldo anaaminika ndiye mchezaji bora duniani na hivi karibuni alibeba tuzo ya mwanasoka bora ya Ballon d’Or, lakini wapo wanaoamini Messi ndiye bora zaidi akiwemo mkongwe wa soka Pelle.
Kocha wa zamani wa Manchester United, Sir Alex Ferguson kaenda hatua moja mbele, yeye kasema kwamba Mbrazil Neymar Da Silva Santos ndiye mchezaji ambaye anaweza kusumbua vichwa vya mastaa hawa katika nafasi ya Mchezaji bora wa soka duniani.
.
Neymar Da Silva Santos
Ferguson alisema Neymar ni mchezaji anayebadilika kila siku na amekuwa akisumbua vichwa vya wengi, kwa upande wake anaona ndiye mchezaji anayeweza kushindanishwa na Ronaldo na Messi katika kwenye nafasi ya mwanasoka bora wa dunia.
WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI
Weka e-mail yako hapa kupata habari moja kwa moja Karibu sana Usikose kupata habari kwa kutembelea blog yetu Gallos official blog

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Ukurasa Wetu Wa Facebook Hapa Chini

 
Support : Gallos official blog | Gallos official blog | Gallos official blog
Copyright © 2011. Gallos official blog - All Rights Reserved
Modified by Yuvinusm
Powered by Blogger
Tricks and Tips