Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » » Brazil yaingia robo fainali Copa America

Brazil yaingia robo fainali Copa America

Brazil waishinda Venezuela na kuingia robo fainali
Thiago Silva na Roberto Firmino walifunga bao moja kila mmoja na kuisaidia Brazil kujikatia nafasi ya kuingia katika robo fainali ya mchuano wa Copa America baada ya kuilambisha sakafu Venezuela.
Silva alifunga kona maridadi baada ya kupata pasi kutoka kwa Robinho huku akianza mechi hiyo kwa nafasi ya Neymar baada ya kupigwa marufuku katika michuano hiyo.
Awali Firmino aliipinda krosi ya Miku na kufunga bao la kufutia machozi.
Sasa Brazil itakwaruzana na Paraguay katika mchuano wa robo fainali mnamo siku ya Jumamosi.
Colombia na Peru pia zilifuzu baada ya kutoka sare tasa mapema mchana.
Katika michuano mingine ya robo fainali, Chile itavaana na Uruguay Ijumaa, Juni 25, Bolivia wavaane na Peru, huku Argentina wakikwaruzana na Colombia, ilihali Brazil itakung'utana
 Chanzo BBC
Gallos Official Blog
WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI
Weka e-mail yako hapa kupata habari moja kwa moja Karibu sana Usikose kupata habari kwa kutembelea blog yetu Gallos official blog

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Ukurasa Wetu Wa Facebook Hapa Chini

 
Support : Gallos official blog | Gallos official blog | Gallos official blog
Copyright © 2011. Gallos official blog - All Rights Reserved
Modified by Yuvinusm
Powered by Blogger
Tricks and Tips