Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » » Arsenal yazidi kuifukuzia Chelsea

Arsenal yazidi kuifukuzia Chelsea

alex 
Arsenal inaifukuzia Chelsea katika kuwanaia kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya England baada ya jana kushinda bao 1-0 ugenini ikiwa ni ushindi wa nne mfululizo.
kidole 
Sasa Arsenal imefikisha jumla ya pointi 66 ikiwa nyuma ya Chelsea yenye pointi 70 baada ya jana Aaron Ramsey kufunga goli la ushindi dhidi ya  Burnley dakika dakika ya 12.
oyeee 
Totternham nayo imezamishwa na Aston Villa bao 1-0 lililofungwa na Cristian Benteke dakika ya 35 kwenye uwanja wa White Hart Lane, London
WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI
Weka e-mail yako hapa kupata habari moja kwa moja Karibu sana Usikose kupata habari kwa kutembelea blog yetu Gallos official blog

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Ukurasa Wetu Wa Facebook Hapa Chini

 
Support : Gallos official blog | Gallos official blog | Gallos official blog
Copyright © 2011. Gallos official blog - All Rights Reserved
Modified by Yuvinusm
Powered by Blogger
Tricks and Tips