Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks
Home » » Bifu la Siwema na Shamsa Ford Kwa Nay wa Mitego Lashika Kasi ..Siwema Amcharukia Shamsa Baada ya Kujinadi kuwa yeye ndio Anajua Uchungu wa Mwana

Bifu la Siwema na Shamsa Ford Kwa Nay wa Mitego Lashika Kasi ..Siwema Amcharukia Shamsa Baada ya Kujinadi kuwa yeye ndio Anajua Uchungu wa Mwana

Bifu kati ya Siwema na Mwigizaji Shamsa Ford linazidi kuwa kubwa baada ya wawili hao kujibizana mitandaoni huku kila mmoja akijinadi kuwa ndio Bora kwa Nay wa Mitego ..

Shamsa alipost picha akiwa na mtoto wake na kuandika yafuatayo chini ya picha hiyo:

Maneno hayo yalimchoma sana Siwema Mpenzi wa Nay wa Mitego wa zamani na kuona kama anaambiwa yeye ambae alizaa kwa Operation, Kisha na yeye akamjibu Shamsa Kama Hivi :

Je kuna ukweli wowote wanaozaa kwa Operation hawajui uchungu wa Mwana?WEKA MAONI YAKO HAPA CHINI
Weka e-mail yako hapa kupata habari moja kwa moja Karibu sana Usikose kupata habari kwa kutembelea blog yetu Gallos official blog

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Like Ukurasa Wetu Wa Facebook Hapa Chini

 
Support : Gallos official blog | Gallos official blog | Gallos official blog
Copyright © 2011. Gallos official blog - All Rights Reserved
Modified by Yuvinusm
Powered by Blogger
Tricks and Tips